LIMSwiki
Yaliyomo
Mandhari
Tarehe 25 Januari ni siku ya ishirini na tano ya mwaka. Mpaka uishe zinabaki siku 340 (341 katika miaka mirefu).
Matukio
- 750 - siku ya mwisho ya mapigano kwenye mto Zab (Iraki), mwisho wa ukhalifa wa Waumawiya, mwanzo wa ukhalifa wa Waabbasi
Waliozaliwa
- 1860 - Charles Curtis, Kaimu Rais wa Marekani
- 1917 - Ilya Prigogine, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia mwaka wa 1977
- 1923 - Arvid Carlsson, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2000
- 1938 - Vladimir Vysotsky, msanii kutoka Urusi
- 1949 - Paul Nurse, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 2001
- 1975 - Mia Kirshner, mwigizaji wa filamu kutoka Kanada
- 1980 - Xavi, mchezaji mpira kutoka Hispania
Waliofariki
Sikukuu
Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha sikukuu ya wongofu wa Mtume Paulo, lakini pia kumbukumbu za watakatifu Anania wa Damasko, Artema, Agileus, Bretanioni, Palemoni, Preieto na Amarino, Poponi abati n.k.