LIMSpec Wiki
Yaliyomo
Mandhari
Peter Robert Edwin Viereck (5 Agosti 1916 – 13 Mei 2006) alikuwa mshairi na profesa wa historia kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1949 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.
Peter Robert Edwin Viereck (5 Agosti 1916 – 13 Mei 2006) alikuwa mshairi na profesa wa historia kutoka nchi ya Marekani. Mwaka wa 1949 alipokea Tuzo ya Pulitzer ya Ushairi.