Clinfowiki

Hariri viungo

Tarehe 17 Agosti ni siku ya 229 ya mwaka (ya 230 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 136.

Matukio

Waliozaliwa

Waliofariki

Sikukuu

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Miro wa Kuziko, Mamas wa Kaisarea, Papa Eusebius, Jero, Elia Kijana, Nikola Politi, Klara wa Montefalco, Beatriz wa Silva, Yakobo Kyushei Tomonaga, Mikaeli Kurobioye, Yoana Delanoue n.k.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 17 Agosti kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa .