Bioinformatics Wiki
Yaliyomo
![](https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/e/e8/Port_Vila_aerial.jpg/260px-Port_Vila_aerial.jpg)
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: "In God we stand" | |||||
Wimbo wa taifa: Yumi, Yumi, Yumi | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Port Vila | ||||
Mji mkubwa nchini | Port Vila | ||||
Lugha rasmi | Bislama, Kiingereza, Kifaransa | ||||
Serikali Rais
Waziri Mkuu |
Jamhuri Tallis Obed Moses Bob Loughman Weibur | ||||
uhuru kutoka Ufaransa na Uingereza tarehe |
30 Julai 1980 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
12,189 km² (ya 161) negligible | ||||
Idadi ya watu - Julai 2014 kadirio - Msongamano wa watu |
266,937 (ya 183) 19.7/km² (ya 188) | ||||
Fedha | Vanuatu vatu (VUV )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+11) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .vu | ||||
Kodi ya simu | +678
- |
Vanuatu ni nchi ya visiwani ya Melanesia katika Bahari ya Pasifiki ya kusini yenye visiwa 83.
Iko takriban km 1,750 mashariki kwa Australia, km 500 kaskazini-mashariki kwa Kaledonia Mpya, magharibi kwa Fiji na kusini kwa Visiwa vya Solomon.
Watu
Kuna wakazi 266,937 (2014) wakiongea lugha asili 113 (angalia orodha ya lugha za Vanuatu).
Lugha rasmi ni Bislama, Kiingereza Kifaransa.
Wakazi wana asili ya Melanesia. Inawezekana watu wa kwanza walihamia visiwani miaka 4,000 iliyopita.
Kwa sasa wengi ni Wakristo, hasa Waprotestanti (Wakalvini, Waanglikana n.k.), halafu Wakatoliki (15%).
Tazama pia
Nchi_na maeneo ya Australia na Pasifiki |
Australia | Fiji | Guam | Hawaii | Kaledonia Mpya | Kiribati | Kisiwa cha Pasaka | Mikronesia | Nauru | Nyuzilandi | Niue | Pitcairn | Polinesia ya Kifaransa | Palau | Papua Guinea Mpya | Samoa | Samoa ya Marekani | Visiwa vya Cook | Visiwa vya Mariana ya Kaskazini | Visiwa vya Marshall | Visiwa vya Solomon | Tonga | Tuvalu | Vanuatu | Wallis na Futuna |