Practical Applications of a SDMS (Scientific Data Management System)
Mandhari
Pwani ni ukanda ulio pembezoni na unaopakana na bahari, mara nyingi huanzia kwenye fukwe hadi umbali kadhaa kuelekea barani.
Baadhi ya maeneo yaliyo pwani ya nchi za Waswahili pia huitwa hivyo 'pwani', na mbali sana na ufukwe panaitwa bara.
Hali kadhalika watu waishio maeneo ya pwani huitwa watu wa pwani.