Type a search term to find related articles by LIMS subject matter experts gathered from the most trusted and dynamic collaboration tools in the laboratory informatics industry.
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: To Lead is to Serve (Kuongoza ni kuhudumia) | |||||
Wimbo wa taifa: God Save Our Solomon Islands Mungu abariki Visiwa vyetu vya Solomon | |||||
Mji mkuu | Honiara | ||||
Mji mkubwa nchini | Honiara | ||||
Lugha rasmi | Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba Charles III wa Uingereza David Vunagi Manasseh Sogavare | ||||
uhuru tarehe |
7 Julai 1978 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
28,400 km² (ya 142) 3.2% | ||||
Idadi ya watu - Julai 2018 kadirio - Msongamano wa watu |
652,857 (ya 167) 18.1/km² (ya 200) | ||||
Fedha | Dollar ya Solomoni (SBD )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC+11) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .sb | ||||
Kodi ya simu | +677
- |
Visiwa vya Solomon ni nchi ya visiwani ya Melanesia katika Bahari ya Pasifiki iliyoko mashariki kwa Papua Guinea Mpya.
Eneo lake ni visiwa karibu 1000, vyenye jumla ya km² 28,400 na wakazi 652,857, wengi wakiwa Wamelanesia (95.3%), wakiongea lugha 90. Lugha rasmi ni Kiingereza.
Kati yao 97.4% ni Wakristo wa madhehebu mbalimbali, kuanzia Anglikana na Katoliki (19%).
Mji mkuu ni Honiara kwenye kisiwa cha Guadalcanal.
Visiwa vimekaliwa tangu miaka elfu kadhaa na Wamelanesia.
Kuanzia karne ya 19 vilikuwa koloni la Ujerumani na la Uingereza.
Wakati wa Vita Kuu ya Pili ya Dunia mapigano makali kati ya Japani na Marekani yalitokea hapo.
Visiwa vilipata uhuru mwaka 1978.
Nchi_na maeneo ya Australia na Pasifiki |
Australia | Fiji | Guam | Hawaii | Kaledonia Mpya | Kiribati | Kisiwa cha Pasaka | Mikronesia | Nauru | Nyuzilandi | Niue | Pitcairn | Polinesia ya Kifaransa | Palau | Papua Guinea Mpya | Samoa | Samoa ya Marekani | Visiwa vya Cook | Visiwa vya Mariana ya Kaskazini | Visiwa vya Marshall | Visiwa vya Solomon | Tonga | Tuvalu | Vanuatu | Wallis na Futuna |