Type a search term to find related articles by LIMS subject matter experts gathered from the most trusted and dynamic collaboration tools in the laboratory informatics industry.
Injili ya Luka ni kitabu cha tatu katika orodha ya vitabu vya Agano Jipya katika Biblia ya Kikristo. Huhesabiwa kati ya Injili Ndugu pamoja na Injili ya Mathayo na Injili ya Marko.
Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.
Injili ya tatu, ya Mtakatifu Luka, inaendelezwa na kitabu cha Matendo ya Mitume: katika dibaji za vitabu vyake hivyo mwandishi anaeleza sababu na taratibu za kazi yake kwa mlengwa wa kwanza, Teofilo. Mtu huyo hajulikani, na pengine jina hilo linawakilisha msomaji yeyote, hasa kwa sababu linatafsiriwa "Mpenzi wa Mungu".
Kadiri ya mapokeo, mwandishi ni mganga Luka, mwenzi wa Mtume Paulo katika safari zake kadhaa.
Inawezekana kwamba alikuwa mwenyeji wa Antiokia (Syria); kwa vyovyote hakuwa Myahudi, yeye peye yake kati ya waandishi wote wa Biblia.
Wataalamu wanakisia kwamba aliandika vitabu vyake kwenye miaka 80-90, akitumia Injili ya Marko, kitabu cha misemo ya Yesu kinachotajwa kifupi kama Q na vyanzo vingine vya habari.
Katika Injili hiyo mambo yote yanalenga Yerusalemu, kiini cha jiografia ya wokovu, wakati katika Matendo ya Mitume yote yanaanzia huku na kulenga miisho ya dunia.
Inaonekana kuwa aliandika baada ya maangamizi ya Yerusalemu na ya hekalu lake mwaka 70, akitaka kuthibitisha uaminifu wa Mungu kwa ahadi zake, yaani kwamba matukio hayo ya kutisha yalisababishwa na Wayahudi kwa kumkataa Masiya wao, Yesu Kristo.
Kwa sababu hiyo, Mungu aliendeleza mpango wake wa wokovu kwa kuwalenga moja kwa moja mataifa yote.
Luka anasisitiza habari njema kwamba wokovu ni kwa wote, hasa wasiotarajiwa: maskini, wakosefu, wanawake n.k.
{{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help)CS1 maint: multiple names: authors list (link){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help){{cite book}}
: Invalid |ref=harv
(help)