Knowledge Base Wiki

Search for LIMS content across all our Wiki Knowledge Bases.

Type a search term to find related articles by LIMS subject matter experts gathered from the most trusted and dynamic collaboration tools in the laboratory informatics industry.

Clipperton kutoka angani.

Clipperton ni kisiwa cha bahari ya Pasifiki karibu kidogo na Amerika ya Kati (kilometa 1,080 kutoka Meksiko).

Ukubwa wake ni kilometa mraba 9.

Kwa sasa hakina tena wakazi, lakini kinamilikiwa na Ufaransa.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons


Picha

Tovuti za kimataifa

Tovuti za Kifaransa

Safari kwenda Clipperton

Makala hii kuhusu maeneo ya Amerika ya Kati bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Clipperton kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa .